Guardian Angel: Muziki hauna utajiri wa haraka
NA SINDA MATIKO MSANII wa injili Guardian Angel kadai kuwa, muziki sio uwekezaji sahihi kwa mtu anayepania kutajirika haraka. Angel ambaye amedumu kwenye tasnia ya muziki wa injili kwa miaka 15, anasisitiza kuwa huwa kuna dhana kwamba muziki ni mojawapo ya njia rahisi ambazo zinaweza kumtajirisha msanii. “Huwezi kutajirika kwa haraka kupitia muziki, hilo haliwezekani. Ikiwa dhamira […]